Khadija Mwanamboka Ndani ya Studio za VOA

Posted on 23/Sep/2011 to

MWENYEKITI WA TANZANIA MITINDO HOUSE KHADIJA MWANAMBOKA AKIWA KATIKA STUDIO ZA VOICE OF AMERICA WAKATI AKIHOJIWA NA MTANGAZAJI SUNDAY SHOMARI KUHUSU ONYESHO LA MAVAZI LINALO FANYIKA KESHO HUKO WASHINGTON DC KATIKA SHEREHE ZA MIAKA 50 YA UHURU WA TANZANIA,SHEREHE HIZO ZINAAMBATANA NA KONGAMANO LA DICOTA 2011 ALIWATAJA WABUNIFU AMBAO KAZI ZAO ZITAONYESHWA KATIKA TUKIO HILO LA KIHISTORIA NI FARHA SULTAN,ZAMDA GEORGE,GABRIEL MOLLEL,BINTI AFRIKA,JAMILA SWAI, MUSTAFA HASSANALI PAMOJA…

The cookie settings on this website are set to 'allow all cookies' to give you the very best experience. Please click Accept Cookies to continue to use the site.