Bongo Black Ball ya Khadija Mwanamboka – Mlimani City ilivyofana

Posted on 27/Apr/2013 to

Usiku wa jana mbunifu wa mavazi Khadija Mwanamboka kupitia kampuni yake ya Vitu Vya Khadija Events & Clothing aliandaa party yenye jina Bongo Black Ball: Celebrating Tanzanian Music na kuwaalika wadau mbilimbali wa masuala ya fashion nchini. BBB iliyofanyika kwenye ukumbi wa Mlimani City, ilihudhuriwa na mastaa na wadau kibao kwenye fashion industry nchini. Hizi ni picha za BBB. Wasanii waliotumbuiza ni pamoja na Linex na Mwasiti.

Uzinduzi wa Vitu vya Khadija na Bongo Black Ball (Dinner and Dance Party)

Posted on 26/Apr/2013 to

Mbunifu wa Mavazi Khadija Mwanamboka ambaye pia ndio Mwandaaji wa Bongo Black Ball Party iliyobeba Theme ” Celebrating Tanzania Music” wakati wa uzinduzi wa Kampuni ya Vitu vya Khadija Events & Clothing akiwa na wadau mbalimbali kwenye mnuso wa nguvu uliowakutanisha Masupastaa wa Bongo wadau waliopo kwenye Fashion Industry katika usiku uliopambwa na msanii Mkongwe wa muziki nchini King Kiki a.k.a mzee wa kitambaa cheupe pamoja na burudani kutoka kwa wasanii…

The cookie settings on this website are set to 'allow all cookies' to give you the very best experience. Please click Accept Cookies to continue to use the site.